NITAOLEWA NIKIPENDA pdf
NITAOLEWA NIKIENDA

Bofya Neno liliandikwa Download /PAKUA PDF
Ili Kupata pdf ya kitabu hiki
Ngugi wa Mirii alizaliwa Roromo, Limuru katika mwaka wa 1951. Alisomea shule ya sekondari ya Ngenia. Kutoka rnwaka wa 1972 hadi 1974 alifanya kazi ya ukarani katika Idara y a Posta na Simu. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Nairobi kujifunza taaluma ya elimu ya watu wazima. Alipohitimu aliajiriwa katika Chuo Kikuu cha Nairobi katika ldara ya Elimu na Ustawishaji wa jamii. Wakati huo huo akiwa kazini ndipo aliposhirikiana na wakulima wadogo na wafanyakazi katika kustawisha kijiji cha Kamirithu, Limuru.
BONYEZA HAPO CHINI KUPAKUA PDF
Baada ya kudownload toa Maoni Yako pia andika kitabu unachotaka TUWEKE Ili uweze kukipata Kwa urahisi kabisa pia hakikisha umefollow blog hii Ili Kupata more updates kuhusu masomo na ELIMU za kijasiliamali.
Tupo Kwa ajili Yako Maoni Yako ni MHIMU
kwetu
Pia kama unaswali usisite kuuliza Kwa njia ya email au njia ya comment.